Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba Vs Prison, Twitter ya Simba yazua mjadala

Alhamisi , 7th Nov , 2019

Kuelekea mchezo wa leo wa ligi kuu soka Tanzania bara kati ya Simba dhidi ya Tanzania Prison, utakaopigwa kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam, ukurasa wa Twitter wa klabu ya Simba umezua mjadala miongoni mwa mashabiki.

Wachezaji wa Simba, kutoka kushoto ni Clatous Chama, MIraji Athumani na Hassan Dilunga.

Simba ambayo sasa ina alama 21 ikiwa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu, imezipa majina ya wachezaji alama hizo kutokana na namba za jezi zao.

Alama hizo zimeitwa Miraji Athuman kutokana na mchezaji huyo kuvaa jezi namba 21.

Aidha Simba imeonesha matumaini makubwa ya kushinda mchezo huo baada ya kuzipa jina alama 24 watakazofikisha endapo watashinda. Alama hizo wameweka wazi kuwa wataziita alama Hassan Dilunga kutokana na nyota huyo kuvaa jezi namba 24.

Mashabiki nao hawakuwa mbali, wameungana na ukurasa huo wa Simba huku wengine wakitaja namba kama 17 ya Clatous Chama itumike wakifikisha alama 27.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi