Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wamuaga 'Kilomoni' kwa goli 1

Jumatatu , 14th Aug , 2017

Mwenyekiti wa baraza la Wadhamini Simba 'Mzee Kilomoni' amesimamishwa uanachama na Klabu hiyo ikiwa ni baada ya kudaiwa kuvunja katiba ya Simba  kwa kupeleka mambo ya soka Mahakamani ilhali kuna chombo maalum cha kusuluhisha matatizo klabuni hapo.

Mchezaji Emmanuel Okwi

Katika mkutano uliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere, Kamati ya Utendaji ya Klabu hiyo ilimsimamisha uanachama Mzee Kilomoni huku hukumu ikiwa imependekezwa na Kaimu Rais Simba, Salim Abdallah 'Try Again' katika mkutano huo mbele ya waachama 927 waliyohudhuria, kuwa Kilomoni aondolewe katika Baraza la Wadhamini la Simba kwa kitendo cha kufungua kesi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wiki iliyopita.

Hata hivyo baada ya Klabu hiyo kumaliza tukio hilo ilielekea uwanjani ambapo timu ya Simba iliibuka kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, mchezo uliyopigwa siku ya Jumapili (Jana) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Balo la Simba lilifungwa na Emmanuel Okwi katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza ikiwa ni masaa machache tangu klabu hiyo itoke kwenye mkutano mkuu.

Matokeo hayo ni mwendelezo wa matokeo mazuri iliyopata klabu hiyo ikiwa siku chache tangu ilipoifunga Rayon ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa Simba Day.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa