Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba watuma malalamiko CAF juu ya waamuzi

Jumatatu , 8th Apr , 2019

Hii leo April 8, uongozi wa klabu ya Simba umetuma barua ya malalamiko yao kwa Shirikisho la Soka Barani Afrika baada ya kupewa taarifa ya kubadilishiwa waamuzi.

Simba na CAF

Simba imefikia hatua hiyo baada ya kupokea barua kutoka CAF kuwa waamuzi ambao walipangwa kusimamia mchezo wa marudio kati ya TP Mazembe na Simba utakaopigwa DR Congo wikiendi hii wamebadilishwa kutokana na sababu za kiufundi.

Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo, Creacentius Magori, imeendelea kusema kuwa mabadiliko hayo hayakupaswa kufanyika bila kuwa na mawasiliano na wahusika, huku ikionesha wasiwasi wao juu ya waamuzi walioteuliwa kuwa na uhusiano wa karibu na taifa la Congo kwakuwa wao ni raia wa Zambia.

Imetoa pendekezo la kurejeshwa kwa waamuzi wa awali ili kuepusha mgongano wa kimaslahi. 

Simba na TP Mazembe zitapambana katika mchezo wa marudio wa robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika mjini Lubumbashi, ambapo mchezo wa kwanza uliofanyika Jumamosi iliyopita, ulimalizika kwa sare ya bila kufungana.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi