Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yahusishwa na washambuliaji 2 Kimataifa

Jumatano , 20th Mei , 2020

Katika kipindi cha mwezi mmoja wa Mei, 2020 klabu ya Simba imehusishwa na kuwasajili washambuliaji wawili wa kimataifa ili kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa ligi pamoja na michuano ya Kimataifa.

Justin Shonga (kushoto) na Michael Sarpong (kulia)

Mwanzoni mwa mwezi Mei 2020, kulikuwepo na tetesi za Simba kuhusishwa na kumsajili mashambuliaji wa klabu ya Orlando Pirates, Mzambia Justin Shonga. Mchezaji huyo ana umri wa miaka 23 na ameichezea timu ya taifa ya Zambia takribani mechi 24 na kufunga mabao 13 tangu mwaka 2017.

Pia hivi karibuni klabu ya Simba imehusishwa na tetesi za kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Rayon Sports raia wa Ghana, Michael Sarpong (24) ambaye ndiye alikuwa mfungaji bora wa msimu wa 2018/19 akiwa amefunga mabao 16. Pia mchezaji huyo amekuwa akihusishwa na kusajiliwa na mahasimu wao Yanga.

Imeelezwa kuwa Simba imethamiria kuwa na safu bora ya ushambuliaji hasa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika msimu ujao ili izidi katika hatua ya makundi ambayo iliishia msimu huu.

Baadhi ya wachezaji ambao wanatajwa huenda wakaachwa na Simba ili kupisha usajili huo ni pamoja na Haruna Shamte, Kennedy Juma, Tairone Santos, Shiza Kichuya, Yusuf Mlipili ambao wamekuwa hawana nafasi za kudumua katika kikosi cha kwanza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi