Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba, Yanga zavurugiwa ratiba

Jumatatu , 13th Aug , 2018

Shirikisho la soka Tanzania TFF kupitia kwa bodi yake ya ligi imepangua ratiba ya michezo ya awali ya klabu za Simba na Yanga kutoka katika uwanja wa taifa hadi katika uwanja wa uhuru.

Wachezaji wa Simba na Yanga kwenye moja ya michezo ya timu hizo msimu uliopita.

Akithibitisha taarifa hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Boniface Wambura amesema kuwa wamepokea barua kutoka kwa wamiliki wa uwanja wa taifa ambao ni Serikali ikiwataarifu kuwa kuazia Agosti 22 hadi 30 Agosti, uwanja huo utakuwa na matumizi mengine.

Wambura amezitaja mechi ambazo zitahamishwa kutoka katika uwanja wa taifa katika kipindi hicho ni mechi tatu za mwanzo za Simba dhidi ya Prisons, Mbeya City na Lipuli Fc pamoja na mechi ya Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga iliyokuwa ichezwe katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Kutokana na mabadiliko hayo, sasa mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Simba dhidi ya Prisons, 22 Agosti na Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, 23 Agosti zitachezwa katika uwanja wa Uhuru huku Yanga ikiwa mwenyeji katika mchezo wake.

Pia mchezo wa Simba dhidi ya Mbeya City utakaochezwa, 25 Agosti na ule wa Agosti mosi dhidi ya Lipuli Fc ambao umesogezwa hadi 2,Agosti, michezo yote itachezwa katika uwanja huo wa Uhuru.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa