Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yasajili mshambuliji wa Nigeria

Jumatatu , 25th Jan , 2021

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mshambuliaji Junior Lokosa raia wa Nigeria. Mkataba wa mchezaji huyo haujawekwa wazi kasaini mkataba wa muda gani na sasa safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania bara inafikisha idadi ya washambuliaji 4.

Junior Lokosa anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020

Lokosa mwenye umri wa miaka 27 anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru mara baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020. Huu unakuwa ni usajili wa 3 kwa klabu ya Simba katika dirisha hili dogo la usajili, baada ya kuwasajili viungo Perfect Chikwende kutoka FC Platnum ya Zimbabwe na Taddeo Lwanga raia wa Uganda.

Usajili wa Lokosa anakamilisha idadi ya washambuliaji 4 kwenye kikosi cha mabingwa wa Tanzania bara, anaungana na John Bocco, Meddie Kagere na Chris Mugalu.

Kwa sasa kikosi cha Simba kinanolewa na kocha mfaransa Didier Gomes Da Rosa, ambaye alitambulishwa hapo jana akichukua mikoba ya kocha Sven Vandenbroeck aliyetimkia AS FAR ya Morocco, Simba inafanya usajili huu ikiwa ni katika harakati za kuhakikisha wanafanya vyema kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika ambapo wamejiwekea malengo ya kufika hatua ya nusu fainali msimu huu.

Simba imepangwa kundi A’ Sambamba na mabingwa wakihistoria na watetezi Al Ahly ya Misri, AS Vital Club ya Congo na AL Merrikh ya Sudani.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya