Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yasaka mshambuliaji Hispania

Jumatano , 5th Jun , 2019

Katika kuboresha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa soka, klabu ya soka ya Simba imeelezwa kuwa ipo kwenye mawindo ya kupata sahihi ya mshambuliaji wa Tanzania anayekipiga Hispania Shabaan Chilunda.

Kocha wa Simba Patrick Aussems

Inadaiwa kuwa mwisho wa msimu huu wa 2018/19 Chilunda ambaye alikuwa anacheza Tenerife ya ligi daraja la kwanza Hispania, amevunja mkataba na timu hiyo.

Chilunda alikuwa akicheza kwa mkopo wa miaka miwili akitokea Azam FC, lakini anaelezwa kuvunja mtakaba wake baada ya msimu wa kwanza mambo kutomwendea vizuri ikiwemo kukosa nafasi ya uhakika ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza.

Baada ya taarifa hizo za Chilunda kuvunja mkataba, Simba imeelezwa kuwa na nia ya kumsajili mshambuliaji huyo ambaye amewahi kuwa mfungaji bora wa klabu bingwa Afrika mashariki na kati.

Chilunda kwa sasa yupo kwenye kambi ya Taifa Stars inayojiandaa kwa ajili ya maandalizi ya fainali za AFCON 2019, zitakazofanyika nchini Misri kuanzia Juni 21 hadi Julai 19.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali