Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yatinga Nusu Fainali Kombe la Mapinduzi

Alhamisi , 8th Jan , 2015

Simba SC imefanikiwa kuingia hatua ya Nusu fainali baada ya kuifunga timu ya Jang'ombe goli 4-0 katika mchezo wa Robo fainali uliochezwa hapo jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

Mshambuliaji Ibrahim Hajibu aliyekuwa akiichezea Simba B akitokea Benchi aliingia kipindi cha pili akichukua nafasi ya Awadh Juma, alifunga mabao matatu katika Dakika ya 46, 63 na 75 Kabla ya Shaaban Kisiga aliyotokea Benchi pia kufunga bao la nne katika Dakika ya 80.

Hajibu alianza kwa kufunga bao la kwanza akimalizia Krosi ya Dan Sserunkuma wakati bao la Pili alimalizia kwa kichwa Krosi ya Simon Serunkuma aliyetokea Benchi pia.

Bao la tatu la Hajibu alifunga kwa penati baada ya yeye mwenyewe kuangushwa kwenye eneo la hatari na Abdallah Hajji huku Shaban Kisiga akifunga bao lake kwa shuti la mpira wa adhabu baada ya yeye mwenyewe kuangushwa umbali wa mita 26.

Baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Beki wa Kulia wa Simba SC, Hassan Kessy alitangazwa kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo.

Simba sasa itasubiri mshindi wa mchezo kati ya Mabingwa watetezi wa Kombe hilo, KCCA ya Uganda au Polisi ya Zanzibar, katika mchezo wa Nusu fainali utakaochezwa Jumamosi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa