Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yatuma salamu kwa Yanga

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Klabu ya soka ya Simba imeendelea kuongoza msimamo wa ligi kuu soka Tanzania Bara baada ya kufanikiwa kuiadhibu Njombe Mji mabao 4-0 kwenye mchezo wa raundi ya 7 uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Katika mchezo huo Simba ilianza kwa kushambulia lakini Njombe Mji walijitahidi kuwadhibiti washambuliaji wa Simba hadi dakika ya 28 ambapo mshambuliaji Emmanuel Okwi alifanikiwa kuiandikia Simba bao la kuongoza ambalo lilidumu hadi mapumziko.

Kipindi cha pili Simba walirejea kwa kasi na kuliandama lango la Njombe Mji ambapo katika dakika ya 51, kiungo Mzamiru Yassin alifanikiwa kufunga bao la pili kabla ya kuongeza bao la tatu dakika ya 52. Simba iliendelea kushambulia na kufunga bao la nne kupitia kwa Laudit Mavugo.

Simba sasa inaongoza ligi ikiwa na alama 15 sawa na Mtibwa Sugar ambayo nayo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons. Azam FC imetoka sare ya 0-0 na Mbao FC wakati Lipuli FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Majimaji FC. Matokeo mengine Ndanda FC imetoka sare ya 0-0 dhidi ya Singida United.

Emmanuel Okwi sasa amefikisha mabao 8 akiwa anaongoza orodha ya wafungaji msimu huu. Baada ya mchezo wa leo Simba itaelekea visiwani Zanzibar kujiwinda na mchezo dhidi ya watani wao wa jadi Yanga wikiendi ijayo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa