Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida na Lipuli kufungua raundi ya 10

Ijumaa , 17th Nov , 2017

Ligi kuu ya soka Tanzania bara raundi ya 10 itaendelea wikiendi hii ikianza leo kwa mechi moja ambapo Singida United itakuwa nyumbani kuivaa Lipuli FC.

Singida United inayofundishwa na Hans Van Pluijm ipo katika nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi ikiwa na alama 14 wakati Lipuli FC inayofundishwa na Suleiman Matola ikiwa katika nafasi ya saba ikiwa na alama 13. Mshindi wa mechi ya leo atamzidi mwenzake katika msimamo wa ligi.

Wakati huo kesho vinara wa ligi hiyo Simba SC yenye alama 19 itakuwa jijini Mbeya kuivaa Tanzania Prisons yenye alama 14 katika nafasi ya 5. Simba imefanya mazoezi yake ya mwisho leo asubuhi kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine.

Siku ya Jumapili mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga SC wakiwa na alama 17 katika nafasi ya tatu itashuka kwenye dimba la Uhuru kuivaa Mbeya City yenye alama 11 katika nafasi ya 8.

Mchezo mwingine wa kusisimua utakuwa ni kati ya Azam FC inayoshika nafasi ya pili ikiwa na alama 19 dhidi ya Njombe Mji yenye alama 7 katika nafasi ya 14.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali