Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sopu aipa ushindi Taifa Stars

Jumamosi , 23rd Jul , 2022

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Somalia kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa kuwania kufuzu fainali za mataifa barani Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani CHAN.

Abdul Sopu katika akipongezwa na wachezaji wenzake wa Taifa Stars baada ya kufunga goli

Bao pekee la mchezo huu la Tanzania limefungwa na mshambuliaji Abdul Sopu kwa kichwaa akimalizia mpira wa krosi uliopigwa na Kibwana Shomari kutoka upande wa kalia wa Taifa Stars kunako dakika ya 46. Kwa ushindi huu Tanzania inahitaji ushindi wa aina yoyote ilikufuzu hatua inayofuata au sare kwenye mchezo wa mkondo wa pili utakaochezwa Julai 30, 2020 uwanja wa Benjamini Mkapa.

Somalia ndio walikuwa wenyeji wa mchezo huu ingawa umechezwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es salaam waliomba wautumie uwanja huu kama uwanja wa nyumbani kutokana na changamoto za usalama nchini Somalia.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa