Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sprite Bball Kings yaisogezea wadau TBF

Jumatano , 1st Aug , 2018

Mashindano ya mpira wa Kikapu yanayoandaliwa na East Africa Television LTD, Sprite Bball Kings ambayo yapo katika hatua ya nusu fainali, yamekuwa chachu kwa wadau wa mchezo huo kuona jitihada za shirikisho la mchezo huo nchini TBF katika kukuza mchezo huo.

Mechi kati ya Flying Dribblers dhidi ya Team Kiza

Hayo yameelezwa na katibu mkuu wa shirikisho hilo, Mike Mwita, kwenye mechi za nusu fainali ya kwanza kati ya 'Best of three' zilizopigwa Jumapili ya Julai 29 kwenye uwanja wa taifa wa ndani jijini Dar es salaam.

''Nimepata pongezi nyingi juu ya mashindano yanavyoendelea na kama shirikisho tunavijunia sana mashindano haya ambapo wadau wanatoa maoni mbalimbali na kuweka wazi kuwa ushawishi wa mchezo huu umerejea kutokana na uwepo wa Sprite Bball Kings'' - amesema.

Katibu mkuu wa TBF Mike Mwita

Mike Mwita ni miongoni mwa watu waliojitokeza kushuhudia mechi za hatua ya nusu fainali ambazo zinapigwa kwa mtindo wa 'Best of three' ambapo kwenye mechi za kwanza (Game 1) Flying Dribblers walishinda kwa pointi 84 dhidi ya 70 za Team Kiza huku Mchenga Bball Stars wakishinda kwa pointi 70 kwa 54 za Portland.

Mechi za pili za nusu fainali za michuano hiyo inayodhaminiwa na kinywaji cha Sprite, zitapigwa jumamosi hii Agosti 4 kwenye uwanja wa taifa wa ndani. Bingwa atapokea kiasi cha shilingi milioni 10, makamu bingwa akichukua milioni 3 na MVP akitwaa milioni 2.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali