Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spurs yamtimua kazi Jose Mourinho

Jumatatu , 19th Apr , 2021

Kwa mujibu wa tovuti ya Sky Sports ya nchini England, kocha Jose Mourinho amefukuzwa kazi na klabu ya Tottenham Hotspurs kufuatia mwenendo wa matokeo yasiyoridhisha klabu hapo hususani kwenye ungwe ya pili ya ligi kuu nchini England.

Aliyekuwa kocha wa Spurs, Jose Mourinho.

Mourinho ambaye alijiunga na Spurs Novemba 20, 2019 kuchukua mikoba ya Mauriccio Pochettino na kusaini kandarasi hadi mwaka 2023, aliiongoza Spurs jumla ya michezo 86 kwenye michuano yote huku akipata ushindi kwenye michezo 44, sare 19 na vipigo 23.

Mourinho ameiacha Spurs kwenye nafasi ya saba kwenye msimamo wa EPL wakiwa nyuma kwa alama 5 kuingia kwenye nafasi nne za juu ili kuwani atiketi ya kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya kwa msimu ujao wa mwaka 2021-2022.

Licha ya Mourinho kuiongoza Spurs kutinga fainali ya kombe la Carabao litakalochezwa tarehe 25 Aprili 2021 dhidi ya Manchester City, lakini mashabiki wa Spurs walishuhudia wakitolewa kwa kipigo cha mabao 5-4 dhidi ya Everton na kutolewa kwenye kombe la FA.

Kwa upande mwingine, Spurs iliondoshwa kwenye hatua ya 16 bora ya michuano ya ligi ya Europa kwa kipigo cha kupinduliwa meza cha mabao 3-0 baada ya kushinda 2-0 mchezo wa kwanza dhidi ya Dynamo Zagreb majuma mawili yaliyopita na kuushtua Uongozi wa Spurs.

Hii ni mara ya nne Mourinho kutimuliwa kazi kufuatia mwenendo wa matokeo yasioridhisha kwani mwaka 2007 mwishoni alitimuliwa na Chelsea, 2012 alitimuliwa na Real Madrid, miaka miwili mitatu mbele akatimuliwa na Chelsea na mwaka 2018 Disemba alitimuliwa na Man Utd.

 
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma