Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Stori ya ndani kuhusu nyota wanne wa Tottenham

Jumanne , 30th Apr , 2019

Kuelekea nusu fainali ya kwanza ya Klabu bingwa Ulaya leo kati ya Tottenham na Ajax, hawa ndio nyota wanne waliochezea hizi timu mbili lakini kwasasa wapo Tottenham.

Wachezaji Christian Eriksen, Davinson Sánchez, Jan Vertonghen na Toby Alderweireld.

Moja ya nyota hao ni kiungo Christian Eriksen ambaye yeye alianza soka lake katika klabu ya Ajax mwaka 2010 hadi 2013 ambapo alitimkia katika klabu ya Tottenham.

Eriksen ametumia uzoefu wake wa kuwa na Ajax kuwatahadharisha wenzake wa Tottenham kuwa wapinzani wao hawana uoga na timu yoyote na huo ndio utamaduni wao wa kucheza soka la kujiamini wakiwa nyumbani ama ugenini.

Wachezaji wengine ambao wapo Tottenham na walianzia Ajax ni Davinson Sánchez  mwaka 2016 hadi 2017, Jan Vertonghen 2006 hadi 2012 na Toby Alderweireld 2004 hadi 2008.

Mchezo wa leo unapigwa kwenye uwanja wa Tottenham kabla ya mkondo wa pili kupigwa huko Uholanzi. Katika hatua ya mtoano Tottenham waliitoa Tottenham na robo fainali wakaitoa Man City. Ajax walizitoa Real Madrid na Juventus.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ