Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ujerumani waendeleza ubabe wa miaka 40

Jumamosi , 23rd Jun , 2018

Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia timu ya taifa ya Ujerumani, imefufua matumaini ya kusonga mbele baada ya kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya timu ya taifa ya Sweden ambayo haijawahi kuwafunga kwa miaka 40.

Wachezaji wa Ujerumani kwenye mchezo dhidi ya Sweden.

Ujerumani sasa wameamka kuonekana kutaka kulinda ubingwa wao waliochukua mwaka 2014 nchini Brazil baada ya mechi ya kwanza kupoteza dhidi ya Mexico.

Ujerumani wapo kwenye hatari ya kufuata nyayo za Mabingwa wa 2010 nchi ya Hispania ambao waliondolewa hatua ya makundi nchini Brazil mwaka 2014. Ufaransa pia nao waliondolewa hatua ya makundi mwaka 2002 baada ya kushinda mwaka 1998.

Sweden ambayo ilitangulia kwa bao la mapema ilishindwa kulinda bao lake ambalo lingefuta rekodi  yao ya kutoifunga Ujerumani tangu walipoifunga 3-1 mwaka 1978. Bao la Sweden lilifungwa na Ole Ola Toivonen dakika ya 32 na marco Reus kusawazisha dakika ya 48 na Toni Kroos kuongeza dakika ya 90.

Baada ya mwaka 1978 timu hizo zimekutana mara 12 ambapo Ujerumani imeshinda mara 6 na kutoka sare mara 6.  Katika Kundi F sasa Ujerumani ina alama 3, Sweden 3 na Mexico 6 huku Korea ya Kusini wakiwa hawana alama.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali