Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania Prisons yaja 'kijeda' zaidi

Jumatano , 26th Jul , 2017

Uongozi wa timu ya Tanzania Prisons umedai umefanya marekebisho makubwa katika kikosi chao kuelekea msimu mpya wa ligi kuu kwa kuwatema baadhi ya wachezaji waliyokuwa raia na badala yake sasa hivi watakuwa wanawachukua watu kutoka katika jeshi lao

 ili waweze kuwatumikia kwa kipindi kirefu.

Havintishi amebainisha hayo ikiwa zimebakia siku chache vumbi kuanza kutimuka katika michuano ya Ligi kuu Tanzania Bara kwa mwaka 2017/2018.

"Sasa hivi tunapunguza raia kutoka 10 mpaka watano,kikubwa tunachotaka tunachokifanya ni kutengeneza zaidi 'under 20' ndiyo ambayo itatupa dira ya mfumo wetu mzima wa timu. Kwa sababu mfumo wetu wa timu sasa tunataka tuwe tunawatumia askari wetu na raia tutabaki nao wachache kama wanne tu, sasa hivi tunatengeneza vijana ili watutumikie kwa muda mrefu zaidi", amesema Havintishi.

Pamoja na hayo, Havintishi amesema watambana wakiwa na wachezaji wao wenye chini ya umri wa miaka 20 bila ya kuwa na wasiwasi wa aina yoyote katika ligi kuu kwa sababu tayari wameshawajenga vizuri.

Kwa upande mwingine, Katibu huyo amewataja wachezaji ambao wametemwa katika kikosi hicho ni pamoja na Victor Hangaya ambapo katika msimu uliyopita aliweza kuwafunga Simba mabao 2 pamoja na Mohamed Samatta.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini