Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapata mwakilishi CHAN

Ijumaa , 12th Jan , 2018

Pamoja na Tanzania kutolewa na Rwanda kwenye michuano ya kuwania kufuzu fainali za AFCON 2018 kwa wachezaji wa ndani (CHAN), lakini Rais wa TFF ameteuliwa kufungua michuano hiyo.

Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF limemteua Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Wallace Karia kuwa kamishna wa mechi ya ufunguzi wa fainali za ndani (CHAN) kati ya wenyeji Morocco dhidi ya Mauritania itakayochezwa kesho Januari 13.

Michuano hiyo ambayo inafanyika kwa mara ya tano tangu ianzishwe, inatarajiwa kuanza kesho ikishirikisha nchi 16 na itamalizika Februari 4, 2018 nchini Morocco.

Kabla ya Morocco kupewa uenyeji wa michuano hiyo awali ilikuwa ifanyike nchini Kenya ambapo shirikisho la soka Afrika CAF lilibadilisha kutokana na Kenya kushindwa kumaliza maandalizi ndani ya wakati.

Tanzania iliondolewa na Rwanda kwenye hatua ya kuwania kufuzu baada ya kutoka sare kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa CCM Kirumba kabla ya kushinda mchezo wa pili uliopigwa nchini Rwanda. 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil