Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Temeke sio ya mpira wa miguu tu'' -Temeke Heroes

Jumanne , 10th Jul , 2018

Timu ya mpira wa Kikapu ya Temeke Heroes ambayo imetinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Sprite Bball Kings, imesema kwasasa Temeke imeendelea kwenye mchezo wa Kikapu tofauti na zamani ambapo ilitambulika zaidi kwa mchezo wa soka.

Kikosi cha Temeke Heroes

Akiongea baada ya droo ya robo fainali iliyofanyika jana usiku, nahodha wa timu hiyo Rajabu Mikingi alisema wao wapo kwaajili ya kuiwakilisha Temeke kwenye michuano ya Sprite Bball Kings na wanaamini kuwa wataibuka mabingwa na kujinyakulia kitita cha shilingi milioni 10.

''Tumejipanga kuendelea kufanya vizuri na sasa tumewajua wapinzani wetu wa robo fainali ambao ni Portland, tunawaheshimu ni timu bora na wamefanya vizuri kwenye mechi yao ya 16 bora lakini hiyo haitutishi Temeke kwasasa tupo vizuri kwenye Kikapu tofauti na zamani tulitambulika zaidi kwa soka'' - alisema Rajabu.

Temeke Heroes ambao wanafanyia mazoezi yao kwenye uwanja wa Bandari Club uliopo Kurasini, watashuka dimbani katika hatua ya robo fainali dhidi ya Portland Jumamosi ya Julai 21 ambapo pia mechi zingine 3 zikipigwa siku hiyo.

Mechi zingine za robo fainali ya michuano hiyo inayoandaliwa na East Africa Television LTD na kudhaminiwa na kinywaji baridi cha Sprite ni ile kati ya Mchenga Bball Stars dhidi ya St. Joseph, Water Institute dhidi ya Flying Dribblers na Team Kiza dhidi ya DMI. Bingwa atatwaa milioni 10,  mshindi wa pili milioni 3 huku MVP akihifadhi milioni 2.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi