Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF yakagua uwanja ligi ya wanawake

Ijumaa , 23rd Feb , 2018

Shirikisho la soka nchini TFF kupitia kwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF kutoka Kanda namba 5 ya mikoa ya Kigoma na Tabora, Issa Mrisho Bukuku imekagua uwanja wa Lake Tanganyika.

Uwanja huo umekaguliwa kwaajili ya kutumika katika mchezo wa ufunguzi wa hatua ya nane bora ya Ligi ya wanawake nchini ambao utazikutanisha timu za Kigoma Sisters na Simba Queens utachezwa Februari 25, 2018.

Mbali na Mrisho Bukuku ambaye ni Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Kigoma, lakini pia viongozi wengine wa TFF wameambatana na kukagua uwanja huo. Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dr.Harrison Mwakyembe atakuwa mgeni rasmi kwenye mchezo huo.

Ukaguzi huo wa uwanja umekuja ikiwa ni siku moja tu tangu Rais wa FIFA Gianni Infantino aongoze mkutano mkuu wa kikanda wa FIFA uliofanyika jana jijini Dar es salaam huku moja ya masuala yaliyojadiliwa ni maendeleo ya soka la wanawake.

Wakati huohuo Kozi ya makocha wa kozi ya Grassroots kwa watoto wenye umri wa miaka 6-12, Wasichana na Wavulana imeanza Jumatano na inaendelea kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika,Ujiji,Kigoma.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa