Alhamisi , 11th Feb , 2021

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha wa timu ya Taifa “Taifa Stars” Etienne Ndayiragije.

Etienne Ndayiragije

Taarifa ya TFF imeeleza kuwa mbadala wa Etienne atatangazwa baada ya taratibu za kumpata kukamilika.