Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huu ndiyo ushindani tuliyokuwa tunautaka- Manaseh

Alhamisi , 17th Aug , 2017

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron amefunguka na kudai upinzani uliyoonyeshwa na timu ya Mchenga BBall Stars na TMT katika game 2 fainali za Sprite BBall Kings ndivyo inastahili kuwepo.

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron.

Manaseh amebainisha hayo baada ya timu ya TMT kuweza kumchapa Mchenga BBall Stars kwa pointi 87-78 katika mchezo wa 'game 2' fainali za Sprite BBall Kings zilizofanyika jana jambo ambalo wengi hawakutegemea kama timu hiyo ingeweza kuwika mbele ya Mchenga BBall Stars.

"Kiukweli mabadiliko yamekuwa makubwa katika mechi ya jana, tulitegemea watapigwa sweap leo pamoja na Jumamosi lakini tumeonyeshwa taswira ya tofauti na watu walivyokuwa wametegemea. Kwa maana hiyo fainali hizi zitakwenda mpaka 'game 4",alisema Manaseh

Pamoja na hayo, Manaseh ameendelea kwa kusema "kama walivyokuwa wanajiuliza TMT mara ya kwanza walipofungwa katika fainali hizi nayo Mchenga BBall Stars itaenda kujiulia ni jambo gani kimemtokea mpaka amepoteza mchezo, naamini watakapo kutana Jumamosi katika game 3 itakuwa mechi nzuri kwa kuwa timu zote zitaitaji zishinde ili ijiweke katika nafasi nzuri ya ushindi".

Kwa upande mwingine, Manaseh amesema angependa fainali za sprite BBall Kings ziende mpaka katika 'game 5' ili iweze kuleta radha nzuri ya mchezo wa mpira wa kikapu.

Timu ya TMT na Mchenga BBall Stars zitakutana tena tarehe 19 mwezi huu katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam ambapo mpaka sasa timu zote zimepoteza mchezo mmoja na kupata mmoja kwa kila timu.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi