Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Tujiandae kisaikolojia' - Etienne Ndayiragije

Jumapili , 4th Aug , 2019

Kaimu kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Etienne Ndayiragije amesema wamejipanga kuhakikisha kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kinafanya vizuri leo dhidi ya wenyeji Kenya katika kuwania kufuzu michuano ya CHAN.

Ndayiragije ametoa kauli hiyo baada ya kikosi cha timu kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya kuivaa Harambee Stars baada ya mchezo wa kwanza timu hizo kutoka sare ya bila kufungana Jijini Dar es Salaam.

"Nimeona wachezaji wote wako vizuri kiafya na nimeongea nao, kwa sababu hii mechi tunahitaji kujiandaa kisaikolojia, kwa sababu tunahitaji kutumia nguvu nyingi. Tunaimani maandalizi yameenda vizuri na kila kitu kiko sawa.", amesema Etienne.

Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia, amesema wamewatimizia mahitaji yote ya kikosi cha timu ya taifa na wameridhishwa na ushirikiano wa benchi la ufundi na wachezaji, kilichobakia ni  kumuomba Mungu.

Mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam Julai 24 katika Uwanja wa Taifa, Stars ilishindwa kutumia vema uwanja wake wa nyumbani lakini kupitia mchezo wa marudiano bado idadi kubwa ya wapenzi wa soka wanaipa nafasi kubwa Taifa Stars ya kuibuka na ushindi kwenye mnchezo huo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi