Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tumejipanga, tunashinda msimu" - Azam

Jumatatu , 22nd Apr , 2019

Baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Ndanda Fc Mabingwa wa Afrika mashariki Azam fc wamepanga kumaliza hasira zao kwa vinara wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga katika mchezo wao wa kiporo utakaopigwa April 29 mwaka huu katika dimba la uwanja wa Taifa.

Meneja wa Azam Philipo Alando amesema kuwa wamerejea Dar es salaam  tayari kwa maandalizi ya kuwavaa Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu kwani wamedhamiria kupata ushindi licha yakuwa wanawaheshimu Yanga SC.

"Ni mechi ngumu sana ukiangalia wao wamejipanga na sisi tumejiapanga sana kuhakikisha tuanshinda nechi hiyo ambayo itatoa taswira kwetu katika kuwania nafasi za juu katika msiamo huo" amesema Alando.

Aidha Alando ameweka wazi kuwa wamepokea kwa furaha taarifa za kutoka CAF juu ya Tanzania kuingiza timu nne katika mashindano ya kimataifa huku akizitaka timu zitakazo pata nafasi hiyo zisibweteke .

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya