Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tunauzoefu na uwanja wa taifa'' - Team Kiza

Jumanne , 17th Jul , 2018

Timu ya mpira wa Kikapu ya Team Kiza, wameipongeza kamati ya maandalizi ya michuano ya Sprite Bball Kings kwa kuipeleka michezo ya robo fainali kwenye uwanja wa ndani wa taifa kwani ndio uwanja ambao wanauzoefu nao.

Wachezaji wa Team kiza waliovaa jezi za blue kwenye mechi yao ya 16 bora dhidi ya Ukonga Warriors waliovaa nyeupe.

Akiongea na www.eatv.tv  nahodha wa timu hiyo Magige Thomas, amesema kitendo cha kamati kupeleka mechi za robo fainali kwenye uwanja wa ndani wa taifa kimewafurahisha kwani wachezaji wengi wa timu yao ni wazoefu wa uwanja huo.

''Kwanza tunawapongeza waandaaji (East Africa Television) kwa kupanga robo fainali ichezwe uwanjwa wa ndani, wapinzani wetu ambao ni DMI wajiandae wakijua wana kazi sana maana ule uwanja sisi tunaujua kwahiyo tutakuwa kama tupo nyumbani tu'', - amesema.

Mashindano ya Sprite Bball Kings yanayodhaminiwa na kinywaji cha Sprite yapo katika hatua ya robo fainali na mechi nne za hatua hiyo zitapigwa Jumamosi Julai 21 kuanzia saa 6:00 mchana hadi saa 2:00 usiku.

Mechi za robo fainali ambazo zitaamua timu 4 zinazoelekea nusu fainali na baadae fainali kuzisaka zile milioni 10 kwa bingwa, milioni 3 mshindi wa pili na milioni 2 kwa MVP ni Temeke Heroes Vs Portland, Mchenga Bball Stars Vs St. Joseph, Team Kiza Vs DMI na Water Institute  Vs Flying Dribblers.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi