Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufafanuzi wa Simba kuhusu kuwasimamisha mastaa

Jumatano , 9th Oct , 2019

Uongozi wa klabu ya Simba umefafanua juu ya tetesi za wachezaji wake Jonas Mkude, Gadiel Michael, Erasto Nyoni na Clatous Chama zilizodai kuwa wachezaji hao wamesimamishwa.

Chama, Nyoni, Gadiel

Kupitia taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Simba ilifanya kikao cha ndani cha nidhamu mnamo Alhamisi, Oktoba 3 kujadili masuala ya kinidhamu pamoja na wachezaji hao kuhusu tuhuma za kutohudhuria mechi za kanda ya ziwa.

Klabu imesema kuwa kikao hicho kiliendeshwa kwa usawa na haki, ambapo walalamikiwa walitakiwa kujieleza na mashahidi waliitwa kutoa ushahidi kuhusiana na suala hilo.

Imesema suala hilo litamalizwa ndani ya klabu na kwamba kinachosubiriwa ni ripoti kutoka kwa kamati huru iliyoundwa na wanasheria wanne kuhakikisha kuwa haki inatendeka.

"Klabu ya Simba inasubiri wachezaji hao wamalize majukumu yao ya timu ya taifa kisha kukutana nao ili kulimaliza sakata hili, tofauti na taaria za uongo zilizotolewa kwenye baadhi ya vyombo vya habari mbalimbali kwamba wachezaji hao wamesimamishwa kwa kipindi cha mwezi mmoja kufanya shughuli zozote za klabu", imesema sehemu ya taarifa hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke