Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ugumu wa Fainali Simba, Yanga Kigoma

Ijumaa , 23rd Jul , 2021

Julai 25, 2021 ambayo ni siku ya Jumapili itakuwa ni Fainali ya Azam Sports Federation (ASF) ikuwakutanisha miamba wawili wa kabumbu nchini klabu ya Simba na Yanga huku ikiwa ndio fainali ya kwanza ya ASF kukutana.

Picha ya Mchezaji Shomari Kapombe na Ditram Nchimbi

Siku zote Fainali huwa ni ngumu lakini hii kuna mambo matatu ambayo yanaifanya kuwa ngumu zaidi ambayo ni;

1.Upinzani wa Jadi (Derby) uliopo kati ya vilabu hivi vikubwa vya soka nchini Tanzania kwani vimekuwa kwenye hali hiyo ya upinzani mkubwa kwa miaka mingi.

2.Kumbukumbu ya matokeo mabaya ya hivi karibuni kwa klabu ya Simba dhidi ya mpinzani wake Yanga, kwani atataka kudhihirisha ubora wake baada ya msimu huu kupoteza mchezo Julai 3 kwa goli moja na kutoka sare ya kufungana goli 1.

3.Yanga kutaka kuendeleza ubabe dhidi ya Simba na kutwaa kombe kubwa la kwanza baada ya misimu mitatu kupita mbele ya bingwa mtetezi na kutimiza ile ahadi ya kutwaa vikombe msimu wa 2020/21.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil