Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Usichokifahamu kuelekea Yanga dhidi ya Simba

Jumapili , 8th Mar , 2020

Leo majira ya jioni nchi itasimama kwa dakika 90 kupisha pambano la nguvu na la kihistoria katika ardhi ya Tanzania, ambapo vigogo Yanga na Simba watakapopambana katika mchezo wa Ligi Kuu.

Mchezo wa watani, Yanga na Simba

Timu hizi zimekuwa kubwa kiasi cha kukusanya mashabiki karibia robo tatu ya mashabiki wote wa soka hapa nchini, ambapo timu hizi zinapokutana huvuta hisia kubwa miongoni mwa wadau wa soka.

Tangu Machi 2015, timu hizo zimekutana mara 10, Yanga ikishinda mara moja pekee, zikienda sare mechi nne na mechi tano Yanga ikifungwa.

Mechi ya Yanga na Simba kawaida huwa ni mechi ngumu bila kuangalia nani yuko vizuri kwa kipindi hicho. Hiyo inajidhihirisha katika mchezo uliopigwa Disemba 20, 2013 ambao timu hizo zilitoka sare ya 3-3, Yanga ambayo ilikuwa bora ndani ya uwanja na nje ya uwanja chini ya tajiri Yussuf Manji.

Mechi nyingine ya mfano ni ile ya kwanza msimu huu ambayo ilimalizika kwa sare ya mabao 2-2, Yanga ikiwa haipewi nafasi au matarajio yoyote ya kushinda mchezo huo lakini mwisho ukamalizika kwa sare.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke