Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utata wa Mambo, Simba waongea, Yanga wapiga kimya

Jumatatu , 9th Dec , 2019

Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kuhusu jina la uwanja wa klabu ya Simba uliopo Bunju jijini Dar es salaam, msemaji Haji Manara ameeleza jina sahihi la uwanja huo ni Mo Simba Arena na sio Simba Mo Arena kama ilivyotangazwa awali.

Kushoto ni Mohammed Dewji na kulia ni Mshindo Msolla

Taarifa ya Simba leo Desemba 9, 2019, imefafanua kuwa jina hilo linabaki kuwa Mo Simba Arena kwani ni maamuzi ya Mkutano mkuu tofauti na Simba Mo Arena ambayo iliamuliwa baada ya mkutano mkuu.

'Kwa kuwa maamuzi yaliyoafikiwa awali na Wanachama ya kuita uwanja wa Bunju jina la MO Simba Arena yalipitishwa na kwa kuwa badiliko la kutanguliza jina la Simba yalifanyika baada ya Mkutano kufungwa na kwa kuzingatia matakwa ya kikatiba yanayotambua maamuzi ya ndani ya Mkutano Mkuu yataheshimiwa kabla ya Mkutano kufungwa', imeeleza taarifa ya Simba.

Kwa upande Yanga wao wameendelea kukaa kimya juu ya suala la wachezaji wao Lamine Moro, David Moringa na Sydney Urkhob kuvunja mikataba na kuondoka.

Licha ya taarifa hizo kusambaa huku uongozi ukigoma kutoa ufafanuzi, mchezaji Papy Tshishimbi ameonekana kuweka wazi ukweli baada ya kupost picha akiwa na Lamine Moro na kumtakia kila la kheri.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi