Victoria Azarenka
Badosa raia wa Hispania ambaye alikuwa akicheza michuano hii kwa mara ya kwanza , alishinda mchezo huo kwa seti mbili za 6-3, 63.
Kwa upande wa Azarenka alitokea nyuma kwa seti moja na kushinda kwa 3-6,6-3,7-5 dhidi ya Jelena Ostapenko.
Azarenka mwenye umri wa miaka 32,anawania kuwa mchezaji wa kwanza mwanamke kushinda taji la michuano hiyo mara tatu baada ya kulitwaa mwaka 2012 na 2016.