Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Nina usongo sana na Simba Vs Yanga - Sirro

Alhamisi , 23rd Feb , 2017

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro amewaonya mashabiki wapenda fujo kukaa nyumbani na kutazama mpira wa watani wa jadi (Simba na Yanga) unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi ya tarehe 25 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.

CP Simon Sirro

Akizungumza kwenye kipindi cha EA Breakfast leo Kamishna Sirro amewataka wazazi kuwaonya watoto wao ikiwa ni pamoja na wanawake kuwaonya waume zao kutokwenda kuangalia mchezo huo uwanjani na ikibidi wabaki nyumbani ili kuepuka mkono wa dola pale watakapokutwa na makosa ya ufanyaji fujo.

Wakati huo huo Sirro amezidi kusisitiza kwamba ulinzi uliopangwa kuwepo kuzunguka kiwanja cha mpira ni mkubwa hivyo watu waliodhamiria kuliabisha jeshi la polisi kwa kuvunja viti kama walivyofanya mchezo uliopita waendelee na mipango yao hiyo.

  "Wale waliovunja watataka kurudia tena, sasa naomba warudie tena ili niwashikishe adabu, na kama mama unampenda mwanao au wewe mke unampenda mumeo na unafahamu ni wapenda fujo ni afadhali ukamshauri aangalie mpira akiwa nyumbani asiende uwanjani akapata matatizo... Nasema nina usongo sana na watakaofanya vurugu". Alisisitiza Kamishna Sirro.

Huyu hapa Sirro akianza na kilichotokea katika mchezo uliopita kati ya Simba na Yanga

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi