Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wababe 16 wa Ulaya na ratiba ya droo

Alhamisi , 12th Dec , 2019

Baada ya kukamilika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Desemba 12, 2019, jumla ya timu 16 zimefuzu hatua ya mtoano.

Mchezaji wa Liverpool Roberto Firmino akiwa amebeba kombe la UCL

Mataifa ya England pamoja na Hispania yameendelea kuonesha ubora kwa kutoa vilabu 8 kati ya 16, ambapo kila nchi imetoa timu 4.

Timu zilizofuzu kutoka England ni Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Liverpool, Mabingwa wa EPL Manchester City, Chelsea pamoja na Tottenham.

Kwa upande wa Hispania zilizofuzu ni mabingwa wa Historia wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Real Madrid, Mabingwa wa La Liga Barcelona, Atletico Madrid na Valencia.

Ujerumani na Italia wao wanafuatia kwa kutoa timu nyingi ambapo wametoa timu tatu, ambazo ni Borrusia Dortmund, Bayern Munich na RB Leipzig kwa Ujerumani. Italia ni Juventus, Napoli na Atalanta.
Ufaransa wenyewe wametoa timu mbili ambazo ni PSG na Lyon.

Kwa upande wa timu zilizokwenda kwenye Europa League ni  Bayer Leverkusen, Inter Milan, Ajax Amsterdam, Benfica, Club Brugge, Shakhtar Donetsk, RB Salzbourg na Olympiakos.

Droo ya kupanga hatua hiyo ya mtoano itafanyika mjini Nyon, Switzerland Jumatatu Desemba 16, 2019 saa 7:00 mchana kwa saa za Afrika Mashariki.

Mechi za mtoano zinatarajiwa kuchezwa kati ya 18-19 February na 25-26 February. Mechi za marudiano zitapigwa kati ya 10-11 March na 17-18 March.
 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea