Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wababe wa Simba wapelekwa Mbeya

Alhamisi , 10th Jan , 2019

Klabu ya soka ya Mashujaa FC kutoka Kigoma imepangwa kucheza na Mbeya City ya jijini Mbeya katika mzunguko wa nne na wa tano wa michuano ya Kombe la shirikisho Tanzania.

Shiza Kichuya akiwania mpira na moja ya wachezaji wa Mashujaa FC.

Katika droo iliyofanyika leo jijini Dar es salaam Mashujaa FC ambao waliowaondoa Simba katika mzunguko wa tatu kwa kipigo cha mabao 3-2 watasafiri kwenda kucheza kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.

Kwa upande mwingine klabu ya Azam FC imepangwa kucheza na Pamba FC ya Mwanza katika mchezo ambao utapigwa kwenye uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar es salaam.

Mabingwa watetezi wa michuano hiyo Mtibwa Sugar watacheza na Majimaji FC kwenye uwanja wa Manungu Turiani Morogoro.

Mabingwa wa msimu wa 2015/16 klabu ya Yanga watakipiga na..... kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Michezo hiyo ya mzunguko wa nne itafanyika kati ya tarehe 25 na 28 mwezi Januari, 2019. Mchezo wa fainali mwaka huu utapigwa kwenye uwanja wa Ilulu mkoani Lindi.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa