Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wababe 8 wa Bball Kings wajulikana

Jumapili , 8th Jul , 2018

Hatimaye timu 8 zitakazochuana katika hatua ya robo fainali ya michuano ya mpira wa Kikapu nchini Sprite Bball Kings, zimepatikana baada ya mechi za hatua ya 16 bora kukamilika jioni ya leo.

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Mchenga Bball Kings na Oysterbay wakati wa mchezo wao leo.

Mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars, wakiwa na nia ya kutetea ubingwa wao, walijihakikishia nafasi ya robo fainali mapema tu leo walipowalaza Oysterbay vikapu 117 kwa 56. 

Mchenga leo wameungana na timu za Temeke Heroes ambayo imewatoa Stylers kwa vikapu 76 dhidi ya 58, Team Kiza ambayo imewanyoosha Ukonga Warriors kwa vikapu 66 dhidi ya 56 pamoja na Water Institute ambao wamewalaza Raptors kwa pointi 77 kwa 66.

Baada ya timu hizo kujulikana, droo ya robo fainali itachezeshwa kesho na kuonekana 'Live' kwenye kipindi cha 5Sports cha East Africa Television na kusikika kupitia The Cruise ya East Africa Radio.

Ikumbukwe kuwa bingwa wa michuano hii inayoandaliwa na East Africa Television LTD na kudhaminiwa na kinywaji baridi cha Sprite, atajinyakulia kitita cha shilingi milioni 10 huku mshindi wa pili akipokea milioni 3 na MVP atachukua milioni 2.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi