Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachezaji Simba kujazwa noti taifa

Jumapili , 16th Dec , 2018

Inaelezwa kuwa wachezaji wa Simba wameahidiwa bonasi kubwa zaidi ya pesa na uongozi wa klabu endapo watafanikiwa kuwaondoa Nkana Red Devils kwa kupata ushindi katika mchezo wa marudiano Jijini Dar es salaam.

Simba

Pia katika hatua nyingine, kocha wa timu hiyo, Patrick Aussems amewapatia uongozi wa Simba chini ya mwekezaji Mohamed Dewji 'MO', muongozo wa kutoa pesa kwa wachezaji kama bonasi kila wanaposhinda au kusuluhu lakini pesa hizo zitatofautiana na uzito wa mashindano husika.

Mastaa hao wa Simba wanaposhinda kila mechi ya ligi kuu hupata pesa, ila kwa mechi za kimataifa mzigo ndio huwa mkubwa zaidi kuliko mechi zamichuano ya nyumbani.

Kwa mujibu wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori, bonasi wanayowapa wachezaji wao ni pesa ya kutosha na kusisitiza kuwa pesa hiyo itazidi kuongezeka kadri timu itavyozidi kusonga mbele katika mashindano hayo ya kimataifa.

Simba imepoteza mchezo wa mkondo wa kwanza kwa mabao 2-1 dhidi ya Nkana Red Devils nchini Zambia, ambapo inatarajia kurejea leo nchini tayari kwa maandalizi ya mchezo wa marudio utaopigwa wiki ijayo Jijini Dar es salaam.

Inahitaji kupata ushindi wa bao 1-0 au zaidi ili iweze kuwaondoa Nkana na kusonga mbele katika hatua inayofuata ya makundi ya michuano hiyo mikubwa zaidi barani Afrika kwa ngazi ya klabu.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani