Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliopitishwa kugombea Uenyekiti Yanga

Jumanne , 9th Apr , 2019

Kamati za Uchaguzi za klabu ya Yanga pamoja na Shirikisho la Soka Tanzania TFF zimekutana leo kufanya mchujo wa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Makao Makuu ya Yanga

Kikao hicho kimewapitisha wagombea wote lakini kamati zimewapa angalizo kuhakikisha wanakamilisha nyaraka ambazo zimekosekana katika fomu zao, ambazo wametakiwa kufika nazo siku ya usaili.

Majina yaliyopitishwa kugombea nafasi ya Uenyekiti Yanga ni Dkt. Mabette Mshindo Msola, Lucas Mashauri na Elias Mwanjala huku katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti, majina yaliyopitishwa ni Janeth Zebedayo Mbena, Fredrik Wilfred Mwakalebela, Thobias Lingalangala na Samwel Lukumay.

Waliopitishwa kugombea Yanga

 

Wagombea hao waliopitishwa wataungana na wale waliopitishwa katika mchakato wa awali wa uchaguzi ulioendeshwa na TFF, ambao uliwapitisha baadhi ya wagombea akiwemo Dkt. Konas Toboroha katika nafasi ya Uenyekiti.

Kuona majina yote ya wagombea katika uchaguzi unaotarajia kufanyika mapema mwezi ujao, tazama taarifa hapa chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava