Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanne Sprite Bball Kings wateuliwa timu ya taifa

Jumatatu , 6th Jan , 2020

Shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania (TBF) kupitia kwa Rais wake, Phares Magesa limesema kuwa Januari 14 hadi 18, 2020 timu ya taifa ya kikapu itashiriki mashindano ya kufuzu kucheza kombe la Afrika kwa wanaume, yatayofanyika Nairobi, Kenya.

Michuano ya Sprite Bball Kings 2019

Makocha walioteuliwa na kamati ya utendaji kuiongoza timu hiyo ni Alfred Ngalaji ambaye atasaidiana na Ashraf Haroun na makocha hao wameteua wachezaji watakaounda timu ya Taifa, ndani yake wakiwemo wachezaji wanne walioshiriki michuano ya Sprite Bball Kings 2019 ambayo huandaliwa na EATV na EA Radio kwa udhamini wa kinywaji cha Sprite, wakiwemo Baraka Sadick ambaye alishinda tuzo ya MVP.

Point Guards; Musa Chacha - JKT, Stephen Mshana - Vijana, Kaikai Lek - Savio

Shooting Guards; Sudi Ulanga - KIU, Uganda, Baraka Sadik - JKT, Erick John - Oilers, Ally Mohamed - JKT

Small Forwards; Enrico Augustino - ABC, Cornelius Peter - Savio, Ladislaus Lusajo - Eagles

Pewer Forwards; Amin Mkosa - Power, Uganda, Isaya Aswilie - Mbeya Flames, Fadhili Chuma - UCU, Uganda

Centers; Haji Mbegu - JKT, Mwalimu Heri - Vijana, Jackson Brown - JKT, Gwalugano John - Vijana, Jimmy Brown - Philippines

Vigezo vilivyotumika kuteua wachezaji hao ni uwezo wa mchezaji, uzoefu wa mashindano ya kimataifa na nidhamu ya mchezaji, timu hii ina wachezaji 17, kati yao 12 walikuwepo timu ya Taifa ya iliyoshiriki mashindano ya kanda ya tano, Kampala, Uganda mwaka jana na wachezaji 6 ni wapya ambao baadhi yao wameonekana kupitia Mtaka Taifa Cup 2019 iliyomaliza Simiyu mwezi Desemba 2019.

Wachezaji hawa wote wanatakiwa kuripoti kambini uwanja wa ndani wa Taifa tayari kwa kuanza mazoezi kuanzia kesho 7 Januari, 2020 na timu inatarajiwa kuondoka tarehe 12 Januari, 2020 kuelekea Nairobi, Kenya tayari kwa mashindano hayo.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma