Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watatu wa Kimataifa kuikosa Yanga leo

Jumapili , 6th Oct , 2019

Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara VPL kati ya Yanga na Coastal Union leo, jumla ya wachezaji watatu wa Kimataifa wa Yanga watakosekana leo kwenye mchezo huo.

Baadhi ya wachezaji wa kigeni wa Yanga

Akizungumzia juu ya majeraha ya klabu hiyo, Mratibu wa Yanga, Hafidh Saleh amesema kuwa licha ya kuwakosa wachezaji hao, timu yao inatambua kuwa ina mzigo mkubwa kutokana na matokeo mabovu waliyoyapata hivyo watafanya vizuri kutokana na wachezaji walio nao.

"Tunawakosa wachezaji kama Lamine Moro, Patrick Sibomana na Sergi pamoja na kiungo Mtanzania, Mohamed Banka, tumepoteza mechi ya kwanza na tumetoa sare mechi ya pili hivyo wale watakaopangwa watacheza vizuri", amesema Hafidh.

Mchezo wa leo ni wa tatu kwa Yanga katika ligi, ambapo mpaka sasa ina pointi moja tu baada ya kupoteza mechi ya kwanza dhidi ya Ruvu Shooting na kutoka sare katika mechi ya pili dhidi ya Polisi Tanzania.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi