Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

waziri mkuu,Majaliwa apongeza mageuzi ya soka nchi

Ijumaa , 10th Sep , 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa leo Bungeni, amewapongeza Wawekezaji na Watendaji wa vilabu vya Simba SC,Yanga SC pamoja na Azam FC kkwa uwekezaji mkubwa na usimamizi mzuri wa vilabu hivyo kwenye soka letu ambalo limeanza kuzaa matunda.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa akiongea akiwa bungeni leo jijini Dodoma.

Sambamba na pongezi hizo Mh. Majaliwa ameupongeza uongozi wa Shirikisho la soka nchini (TFF) chini ya Rais wake, Wallace Karia kwa usimamizi mzuri wa soka nchini.

Pia Waziri mkuu amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha na kuvutiwa wawekezaji katika tasnia ya michezo lengo ni kukuza vipaji na kuibua vipaji mbali mbali ilikuweza kushindana katika soko la ndani na nje ya nchi na hivyo kuimarisha ajira, mapato yatokanayo na mchezo pamoja na mchango katika sekta hiyo.

Kwa upande mwingine, waziri Majaliwa ameipongeza timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kufuatia ushindi dhidi ya Madagascar siku ya Jumanne na hivyo kuongoza kundi J kwenye mzunguko wa pili kuwania kufuzu michuano ya kombe inayotajari kufanyika nchini Qatar 2022.

Kuelekea mashindano ya COSAFA kwa upande wa wanawake yanayotarajia kuanza tarehe 28 Septemba mwaka huu, Mh. Majaliwa amewatakia kila la kheri Twiga stars kwenye michuano hiyo itakayofanyika nchini Afrika Kusini.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa