Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wembe ni uleule kwenye soka la Ulaya wiki hii

Jumanne , 19th Jan , 2021

Ligi Soka nchini Uingereza itaendelea tena leo usiku. Baada ya London Derby, tunakutana tena kwenye wiki ya 19 – Leicester City kuwakaribisha Chelsea pale King Power Stadium.

Leicester City Vs Chelsea

Leicester City anaingia kwenye mchezo huu akitoka kwenye ushindi dhidi ya Southampton. Chelsea nao wanaingia kwenye mchezo huu wakiwa wametoka kwenye ushindi mwembamba dhidi ya Fulham. Meridianbet tumempatia faida Chelsea kwenye mchezo huu kwa Odds ya 2.50

Pale Ujerumani kunako Bundesliga, Bayer Leverkusen atachuana na Borussia Dortmund katika muendelezo wa michezo ya ligi soka nchini humo. Bado ni mbio za kutafuta nafasi 4 za juu kwenye msimamo wa ligi hiyo. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.27 kwa Dortmund.

Udinese uso kwa uso na Atalanta jumatano hii. Mambo yanapamba moto kule Italia kwenye Serie A. Timu za Milan zinaendelea kushika nafasi ya 1 na 2, Atalanta sio haba naye yumo kwenye mchakato wa kuisaka Scudetto. Meridianbet tumekupatia Odds ya 1.90 kwa Atalanta kwenye mchezo huu.

Marseille atachuana na Lens katika muendelezo wa Ligue 1 Jumatano hii. Kila timu inahitaji matokeo katika kulisukuma gurudumu la ligi soka nchini humo na pengine kuvunja utawala wa PSG. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.05 kwa mwenyeji – Marseille.

Kwenye La Liga Jumatano hii ni Real Betis vs Celta Vigo. Nchini Hispania, mchezo wa soka unagubikwa na ufundi mwingi unaoendana na soka la kuvutia. Na kwetu Meridianbet, tumekuwekea Odds ya 2.35 kwa Real Betis kwenye mchezo huu.

Alhamisi kutakuwa na mchezo kati ya Valencia vs Osasuna, matokeo chanya ndio kitu cha msingi kila timu hizi zinapokutana. Bado Atletico anaendelea kuongoza Ligi lakini ni nani atachomoka na pointi muhimu kwenye mchezo huu na kuendelea kumfukuzia Atletico? Meridianbet tumewathamini Valencia kwa Odds ya 2.15 kwenye mchezo huu.

Kwa Odds bora na bonasi kubwa kwenye michezo ya kubashiri, ni Meridianbet pekee utakapoweza kupata faida kubwa kwa kila dau utakalo weka. Ungana na Mabingwa wa Kubashiri sasa!.

 

 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea