Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wydad yatinga fainali ya CAF

Jumapili , 22nd Oct , 2017

Klabu ya soka ya Wydad Casablanca imetinga hatua ya fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya kuitupa nje USM Alger kwenye nusu fainali.

Hii inakuwa mara ya kwanza kwa Wydad Casablanca kucheza fainali hiyo tangu mwaka 2011. Mshambuliaji Achraf Bencharki alifunga mabao mawili kwenye ushindi wa mabao 3-1 jana usiku huku bao la tatu likifungwa na Walid El Karti.

Mchezo wa jana kati ya Wydad Casablanca na USM Alger ulikuwa ni wa marejeano baada ya kutoka sare ya 0-0 kwenye mechi ya kwanza iliyopigwa huko Algeria wiki mbili zilizopita.

Wydad Casablanca itasubiri mshindi wa mchezo wa leo kati ya Etoile du Sahel ya Tunisia na Ah Ahly ya Misri ili kujua itacheza na nani kwenye fainali. Katika nusu fainali ya kwanza Etoile du Sahel ikiwa nyumbani iliibuka na suhindi wa mabao 2-1 na leo itakuwa nchini Misri kusaka nafasi ya fainai mbele ya Ah Ahly.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa