Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kujiuliza kwa wazimbabwe

Jumamosi , 14th Mar , 2015

Baada ya kufanikiwa kuvuka katika hatua ya kwanza ya michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga Jumapili hii March 15 mwaka huu itakuwa na kibarua kingine cha mchezo wa kwanza wa raundi ya pili dhidi ya Wazimbabwe.

Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika timu ya Yanga SC.

Wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa barani Afrika timu ya soka ya Yanga inataraji kutupa karata yake ya kwanza Jumapili hii katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam itakapopambana na timu ngumu ya soka ya Platnum ya Zimbambwe katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya kombe la shirikisho

Mjumbe wa sekretarieti ya timu hiyo Omary Kaya ameiambia muhtasari wa michezo kuwa kikosi kiko sawasawa na wamejipanga kuibuka na ushindi mkubwa kwakuwa tayari wanajua uzuri wa wapinzani wao baada ya kuwasoma na hivyo kufahamu vizuri mbinu zao kimchezo kitu ambacho kitawasaidia kwa kiasi kikubwa kufanikisha malengo yao ya kupata ushindi mkubwa ambao utawarahisishia kazi katika mchezo wa marudiano utakaopigwa baada ya wiki mbili huko nchini Zimbabwe.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari