Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kutafuta ushindi wa kwanza Tanga, tangu 2015

Jumapili , 16th Jan , 2022

Timu ya Wananchi Yanga SC inakibarua cha kuvunja mwiko wa kutopata ushindi katika uwanja wa Mkwakwani uwanja wa nyumbani wa Coastal Union ya Tanga. Mara ya mwisho Yanga kushinda Tanga dhidi ya Coastal kwenye ligi ilikuwa mwaka 2015.

Kikosi cha Yanga

Katika muendelezo wa raundi ya 12 ya Ligi Kuu soka Tanzania bara leo moja ya mchezo ni Coastal Union dhidi ya Yanga mchezo unaochezwa katika dimba la Mkwakwani. Ni takribani miaka 6 imepita tangu Yanga ilipopata ushindi katika uwanja huo.

Mara ya mwisho Yanga kushinda Tanga ilikuwa Februari 3, 2015 ambapo waliibuka na ushindi wa bao 1-0. Na katika michezo 4 ya Ligi ya mwisho katika dimba la Mkwakwani Yanga imefungwa mara mbili na wametoka sare mara mbili, na Msimu uliopita katika Dimba hilo Yanga ilifungwa mabao 2-1. 

Mchezo wa leo unachezwa Saa 10 Jioni, Yanga ndio vinara wa Ligi wakiwa na alama 29 na hawajapoteza mchezo hata mmoja katika michezo 11. Na wanaingia katika mchezo huu wakiwa wanawazidi Coastal Union alama 12, Coastal wapo nafasi ya 4 wakiwa na alama 12.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi