Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yamtangaza kocha mpya

Jumanne , 20th Apr , 2021

Klabu ya Yanga imemtangaza Nasreddine Al Nabi raia wa Tunisia kuwa kocha wake mkuu baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na nusu kukiona kikosi hicho kuchukua mikoba ya Cedric Kaze aliyefutwa kazi Machi 7 kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo mzunguko wa pili.

Kocha mpya wa Yanga, Nasreddine Al Nabi kutoka Tunisia (katikati) akionge mbele ya wanahabari leo.

Akizungumza na wanahabari Habari wakati wa utiaji saini kaimu mtendaji wa Yanga Haji Mfikirwa amesema kuwa imekuwa ni safari ndefu, tumepita na waalimu tofauti hiyo yote ni katika kujenga kikosi chetu na kuwa bora.     

“Leo tumeingia mkabata na mwalimu pamoja na kocha wake msaidizi na atakuja pia mwalimu wa fitness na tumeamua kuchukua utaratibu huu tumpe mwalimu nafasi ya kufanya kazi yake vizuri aje kufanya kazi na watu ambao alishafanya nao kazi  huko alikopita” amesema Haji Mfikiriwa.

Kwa upande wake kocha huyo mpya wa Yanga Nasreddine Nabil amesema “Ninaijua vizuri na nina amini kwamba nitafanya vizuri hivyo ninashukuru kwa nafasi ambayo nimeipata nitatoa ushirikiano na kufanya kazi kwa ufanisi”.

Yanga ipo nafasi ya kwanza ikiwa imecheza jumla ya mechi 25 na kukusanya pointi 54, saa 1:00 usiku wa leo Aprili 20, 2021 itakutana na Gwambina FC iliyo nafasi ya 12 kwenye msimamo na alama 30 na imecheza mechi 24.

Kocha huyo ana uzoefu na soka la Afrika kwa kuwa miongoni mwa timu ambazo alifundisha ni pamoja na Al Merrikh ya Sudan ambayo iliishia hatua ya makundi, Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutoka sare ya bili kufungana na Simba Sportsd Club kwenye hatua ya makundi, wakiwa wote kundi A.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri