Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga walamba donge nono

Jumatano , 17th Mei , 2017

Kampuni ya michezo ya kubashiri nchini, SportPesa leo imeingia mkataba wa udhamini na klabu ya Yanga SC wenye thamani ya Shilingi billioni 5.22 kwa kipindi cha miaka mitano zaidi ya mahasimu wao , wekundu wa Msimbazi Simba SC.

Yanga inakua ni klabu ya pili nchini kulamba udhamini huo ikiwa ni baada ya watani wao wajadi Simba kufanya hivyo juma moja kupita kwa dau la Shilingi Bilioni 4.96.

Akizungumza wakati hafla ya kusaini mkataba huo makao makuu ya Yanga, Mkurugenzi wa Utawala wa SportPesa, Tarimba Abbas  amesema wameingia udhamini na klabu hiyo kwa dhumuni la kuendeleza soka katika kufikia malengo waliyojiwekea.

"Fedha hizo zitatolewa kwa awamu, mwaka wa kwanza, Yanga watapata Sh. Milioni 950 na kama ilivyo kwa Simba, klabu ya Jangwani pia itatakiwa kuthibitisha matumizi ya fedha hizo kama yamefanyika kwa shughuli za maendeleo ya soka...Pia ikishinda michuano kama Kagame watapewa zawadi na wakifanya vizuri katika Ligi ya Mabingwa Afrika watapata zawadi ya Mili. 250". Alisema Tarimba

Kwa mara nyingine tena, mahasimu hao wa jadi Simba na Yanga wanatarajiwa kuwa chini ya udhamini mmoja tena

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali