Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaizima KMC ndani ya CCM Kirumba

Jumapili , 25th Oct , 2020

Klabu ya soka ya Yanga, imeibuka na ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliopigwa jioni ya leo Oktoba 25, 2020 kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli la pili.

Licha ya kutanguliwa na KMC kwa goli la dakika ya 27 lililofungwa na Hassan Kabunda, lakini Yanga walisawazisha na kuongeza goli la ushindi hivyo kujinyakulia pointi tatu.

Goli la kusawazisha la Yanga lilifungwa na Tuisila Kisinda dakika ya 41, kupitia mkwaju wa penati. Goli la pili likafungwa dakika ya 61 na mshambuliaji Waziri Jr.

Mchezaji Waziri Jr wa Yanga akimtoka mchezaji wa KMC FC

Yanga sasa imefikisha pointi 19, kwenye mechi 7 ikiwa nafasi ya pili, nyuma ya Azam FC ambayo inaongoza ligi kwa alama 21 kwenye mechi 7.

Mshambuliaji Waziri Jr, sasa amecheza mechi 60 za ligi kuu soka Tanzania bara na amefuna magoli 34.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali