Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaondoa kiingilio kumvaa Mamelodi Sundowns

Alhamisi , 21st Mar , 2024

Uongozi wa klabu ya Yanga SC umetoa taarifa kuhusu maendeleo ya kikosi chao kuelekea mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns utakaochezwa Machi 30 ,2024 majira ya saa tatu usiku katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Akizungumza na Waandishi wa Habari ndani ya Makao Makuu ya Yanga mitaa ya Jangwani, Afisa habari wa Yanga SC Ally Kamwe amesema taarifa njema kwa sasa ni kurejea mazoezini kwa nyota Kibwana Shomari pamoja na Khalid Aucho huku bado Pacome Zouzoa,Yao Koussi Attouhola na Zawadi Mauya wapo chini ya uangilizi wa daktari mpaka sasa.

Aidha Ally Kamwe amesema Uongozi wa Yanga umeondoa kiingilio kwenye Jukwaa la Mzinguko kwenye mchezo dhidi ya Mamelodi Sundowns ili kutoa nafasi kwa mashabiki wa Yanga kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo huo.

“Viongozi wa Klabu yetu hawana tamaa ya fedha, ndio maana tumepunguza a kuondoa tiketi ya mzunguko kwa lengo la kuhakikisha wengi waje Uwanjani. Tumeweka maslahi ya mpira wa Tanzania mbele. Mechi ya Mamelodi ni kubwa mno lakini kwa kuwa lengo sio fedha ni hamasa”amesema Kamwe

Kikosi cha Mamelodi Sundowns  kinatarajiwa kuwasili nchini mnamo Machi 28-2024 kwa ajili ya mchezo  wa mkondo wa kwanza wa robo fainali Ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Yanga SC utaopigwa majira ya Saa 3 Usiku kwenye dimba la Benjamin Mkapa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma