Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatangaza kocha mpya, fahamu historia yake

Alhamisi , 9th Jan , 2020

Mabingwa wa kihistoria Yanga SC wamemtangaza kocha Luc Eymael raia wa Ubelgiji kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo baada ya kuachana na kocha Mwinyi Zahera.

Luc Eymael

Kocha huyo anakuja kuifundisha Yanga akitokea klabu ya Black Leopards ya nchini Afrika Kusini.

Historia yake kwa ufupi.

Luc Eymael alizaliwa Septemba 20 mwaka 1959 nchini Ubelgiji, ambapo alianza kucheza soka mwaka 1975 katika klabu ya Royal Star Fléron FC ya ligi daraja la nne nchini Ubelgiji.

Alianza kazi ya kufundisha soka mwaka 1999 katika klabu ya  Lierneux ya ligi daraja la tano nchini Ubelgiji, alipata leseni ya ukufunzi ya UEFA Pro mwaka 2007. Klabu alizofundisha barani Afrika ni pamoja na AS Vita ya DR Congo, Missile ya Gabon, MC Oran ya Algeria, AFC Leopards (Kenya), Rayon Sports (Rwanda), Al-Merrikh (Sudan), Polokwane City na Free State Stars za Afrika Kusini.

Amefanikiwa kushinda ubingwa wa ligi katika klabu za AS Vita, Missile, AFC Leopards, Rayon Sports na mafanikio aliyonayo katika michuano ya vilabu barani Afrika ni kufika hatua ya pili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani