Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yathibitisha safari yake

Jumatatu , 12th Feb , 2018

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga SC imethibitisha kuwa tayari mipango kwaajili ya safari yake kuelekea Shelisheli kwenye mechi ya marudiano dhidi ya St. Louis yamekamilika na timu hiyo inatarajiwa kuondoka nchini Jumapili.

Jumapili itakuwa ni Februari 18 ambapo itafika nchini humo siku hiyohiyo na kuanza maandalizi kwa mchezo huo utakaopigwa Jumatano Februari 21 kwenye uwanja wa Stadelinite mjini Victoria.

Katika mchezo huo wa klabu bingwa Africa, Yanga inaongoza kwa bao 1-0 kufuatia ushindi ilioupata kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi hivyo inahitaji ushindi au sare ya aina yoyote ili kusonga mbele.

Kabla ya mchezo huo Yanga itacheza mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Majimaji FC kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam siku ya Jumatano.

''Kikosi cha @yangasc1935 kinatarajia kuondoka nchini jumapili asubuhi kuelekea Shelisheli tayari kwa mchezo wa marejeano na @stloiusfc kwenye uwanja wa #stadelinite feb 21. #cafchampionsleague'', wameandika Yanga kupitia Ukurasa wao wa Twitter.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa