Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa majibu kuhusu kumtaka Niyonzima

Ijumaa , 22nd Nov , 2019

Imefahamika kwamba mashabiki wa klabu ya soka ya Yanga ndio wanamhitaji nyota wa zamani wa klabu hiyo Haruna Niyonzima na si benchi la ufundi kama inavyoripotiwa.

Haruna Niyonzima

Akizungumza na kipindi cha Kipenga cha East Africa Radio, afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema hakuna ripoti ya kocha inayoonyesha kumhitaji kiungo huyo mnyarwanda, lakini wameamua kufanyia kazi maombi ya mashabiki wao ambao wamekua wakipendekeza arejee katika dirisha dogo la usajili.

Bumbuli amesisitiza kwamba waliamua kulipeleka suala hilo katika kamati husika ambayo imekua ikifuatilia kiwango cha nyota huyo tangu katika mechi ya kirafiki kati ya Taifa Stars dhidi ya Rwanda, lakini pia katika michezo ya Taifa lake ya kufuzu AFCON 2021.

Kama haitoshi kamati ya ufundi inatarajiwa kuangalia kiwango cha Niyonzima katika michuano ya Cecafa Senior Challenge, inayotarajiwa kutimua vumbi  mwezi ujao kabla ya kufanya maamuzi ya kumsajili.

Niyonzima aliondoka Yanga miaka miwili iliopita na kusajiliwa na Simba kabla ya kuachwa katika usajili iliopita na kurejea nchini mwao Rwanda na mpaka sasa anakipiga na AS Kigali .
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali