Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yazungumzia kutoswa na Gadiel Michael

Jumanne , 9th Jul , 2019

Uongozi wa Yanga umezungumza kwa mara ya kwanza kufuatia kuondoka kwa mlinzi wake kisiki, Gadiel Michael ambaye ametimkia kwa mahasimu wao Simba.

Gadiel Michael

Gadiel Michael ametambulishwa hii leo na klabu ya Simba kuwa mchezaji wake rasmi kwa mkataba wa miaka miwili.

Uongozi wa Yanga kupitia kwa Meneja wake, Hafidh Saleh umesema kuwa wao kama klabu wameshamsahau Gadiel kwakuwa wameshasajili wachezaji bora kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara.

"Gadiel Michael alikuwa mchezaji wetu, amemaliza kandarasi yake na hakupenda kuongeza mkataba ameamua kuondoka, kwahiyo kuna maisha mengine. Sisi tumeshamsahau ni kama historia kwetu", amesema Hafidh Saleh.

Pia Hafidh amezungumzia maandalizi kamili ya kikosi cha Yanga kuelekea ufunguzi wa ligi mwishoni mwa mwezi ujao, ambapo amesema kikosi kamili pamoja na kocha Zahera watawasili wiki ijayo.

Tazama video hapa chini akizungumza zaidi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi